Header Ads

ad728
  • Breaking News

    mmmmmmh kwa style hiii ?

    Msanii wa Bongo fleva anaye jiita kwa jina la Simba au Diamond aamua kutoa mashambulizi makali kwa mpenziwe wa zamani ambaye ni Zari baada ya zali kuongea maneno makali kumuhusu mzazi mwenzie kua ni baba gani asiye jari kuja kuiyona familiya ya south africa, akiandika ktk ukulasa wake wa twitter, Basi Diamond akaamua kijibu kwa kishindo kwa kupost picha za kimahaba akiwa na mwanamke mkali flaaaaaaani tena toto la kizungu hebu cheki lukwijeintertiments.com

    Maoni 1 :

    Post Top Ad

    ad728

    Post Bottom Ad

    ad728