Header Ads

ad728
  • Breaking News

    Dirisha la uhamisho: Bale, Lukaku, Zaha - mikataba inayoweza kusainiwa dakika ya mwisho

    Paul Pogba, Laurent Koscielny, Mesut Ozil and Leroy Sane
    Paul Pogba (kushto), Laurent Koscielny (kushoto kati), Mesut Ozil (kulia kati) and Leroy Sane (kulia)
    Dirisha la uhamisho linakaribi lakini bado kuna uhamisho mkubwa unaotarajiwa kufanyika.
    Kwa baadhi imekuwa kama kizungumkuti. Atakwenda? au Atasalia? Ni maswali yatakayojibiwa kadri muda unavyosogea na kuwadia kufungwa kwa dirisha la uhamisho kwa klabu za England 17:00 BST siku ya Alhamisi Agosti 8.

    Hakuna maoni

    Post Top Ad

    ad728

    Post Bottom Ad

    ad728